VIDEO: 'Sababu Za Kifo Tuna Uwezo Wa Kuzizuia' MAKONDA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda amesema hakuna mwenye uwezo wa kuzuia kifo lakini sababu zake zinaweza kuzuilika. RC Makonda ameyasema hayo wakati akitoa salamu za pole kwa waombolezaji waliojitokeza kwenye ibada ya kumuaga Mwanafunzi wa Chuo Cha Usafirishaji NIT, Akwilina Akwilini kilichotokea Februari 16, kwa kupigwa risasi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad