AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga itakuwa mgeni katika mchezo mhuo utakaopigwa majira ya saa 10 jioni katika Uwanja wa Majimaji uliopo mjini Songea.
Ikumbukwe Yanga ilifuzu kuendelea na mashindano baada ya kuifunga Ihefu kwa jumla ya matuta 4-3 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya bao 1-1.
Katika mchezo wa kesho, timu itakayoshinda itaungana na Njombe Mji FC kwenye hatua ya 8 bora, ambayo ilifuzu baada ya kuitoa Mbao FC ya jijini Mwanza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK