Ajali: Roli la Mafuta Lateketea kwa Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Roli la Mafuta Lateketea kwa Moto

ROLI lililokuwa limebeba shehena ya mafuta ya petroli likitokea jijini Dar-es-Salaam kuelekea nchini Malawi limeteketea kwa moto leo katika eneo la Stamiko wilayani Rungwe mkoani Mbeya.

Jitihada za kuzima moto huo zinafanywa na kikozi cha zima mato na uokoaji kwa kushirikiana na jeshi la polisi na wananchi huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijajulikana.

Mpaka sasa hakuna mamlaka yoyote ambayo imezungumzia tukio hilo, pia hakuna kifo wala majeruhi aliyeripotiwa kutokana na tukio hilo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad