AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Risasi Jumamosi, Davina alisema hakuna kitu kinachomnyima raha kama mtu kutumia jina lake kwa mambo ya kitapeli kwani watu wasiojua wanamchukia wakidhani ni yeye, kitu ambacho hajawahi kufanya hata siku moja.
“Kitendo cha mtu huyo kutumia jina langu halafu anaomba hela kwa watu kinanisikitisha na kunitia doa kwani tabia hiyo mimi sijawahi kuifanya, nawaomba watu wawe makini katika hilo maana huyo ni tapeli mkubwa anayetumia vibaya majina ya mastaa,” alisema Davina.
Baadhi ya watu wasio waaminifu wamekuwa wakitumia majina ya mastaa kutapeli watu mitandaoni na hata Jackline Wolper aliwahi kukutwa na janga hilo hivi karibuni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK