Faida 5 za Kuendesha Baiskeli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Najua fika utakuwa umeshangazwa na kichwa ya mada hapo juu, ya kwamba hivi ni kweli kuna faida yeyote ya kuendesha baiskeli kiafya, ukiachana na dhana ya kwamba baiskeli ni chombo cha usafiriambacho hutumika kukufikisha sehemu unayotaka kwenda? Majibu ya swali hilo yapo katika Makala haya kwamba ndiyo zipo faida ambazo utazipata endapo utaendesha baiskeli mara kwa mara.

Miongoni mwa faida hizo ni;

1. Kuendesha baiskeli kunasaidia kupunguza kwa kiwango kikubwa  mafuta  mwilini, kwasababu hupunguza calori  mwilini.

2. Baskeli ni usafiri rahisi unaoweza kujichanga ukanunua na ukaokoa bajeti ya nauli za kilasiku uendapo katika shughuli zako kama si mbali sana na maeneo unayoishi.

3. Hukufanya uwe karibu na watu wanaotembea kwa miguu, kwa mfano ukiwa njiani utasalimiana na watu mbalimbali, tofauti ilivyo gari.

4. Ukitumia baskeli hukupa nafasi ya kuona kupita sehemu ambazo kwa gari usingefika, hivyo hutumia njia fupi.

5. Kuendesha baiskeli husaidia kuimarisha misuli ya mwili hivyo kwa maneno mengine tunaweza tukasema licha ya baiskeli kutumika kama usafiri lakini vilevile ni chombo cha mazoezi, hivyo endesha baiskeli   mara kwa mara ili kuuweka mwili wako sawa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad