AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari, Mtendaji wa Mahakama hiyo, Gasto Kanyairita amesema kuwa moto huo umetokea majira ya saa 4 asubuhi.
Amesema kuwa wakati mlipuko huo unatokea kulikuwa na kesi nyingi zikiendelea mahakamani.
“Baada ya kufatilia tulibaini kuwa ni transformer ambapo ilisababisha kuungua kwa waya wa TTCL, simu na Internet ambapo shughuli za mahakama zilisitishwa kwa muda,” -Gasto Kanyairita
Pia amesema shughuli za mahakama zinaendelea ambapo Data za kesi zipo salama.
“Niwatoe hofu Watanzania mlipuko uliotokea ni wa shoti ya umeme na ni kawaida kutokea, hivyo waepukane na taarifa za uongo,”-Gasto Kanyairita
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK