AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo, Mgunduzi wa madini hayo ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma amesema kuwa licha ya kugundua madini hayo miaka 52 iliyopita bado hakuna alichonufaika nacho.
Mzee Ngoma amesema kuwa anatamani kuonana na Rais John Magufuli ili amueleze adha anayokutana nayo kwa sababu anaumia kuona hathaminiwi wala kunufaika na chochote licha ya ugunduzi alioufanya.
“Nina mengi ya kumwambia Rais Magufuli kuhusu madini yaliyopo Tanzania mengine ni siri ya nchi siwezi kuyaweka hadharani,” -Mzee Ngoma
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK