Mungu Aliniokoa na Mdomo wa Bunduki wa Wanyama Wasiopenda Haki- Nape Nnauye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mungu Aliniokoa na Mdomo wa Bunduki wa Wanyama Wasiopenda Haki- Nape Nnauye

Leo March 24, 2018 Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amezungumzia kitendo cha yeye kutishiwa bastola wakati akitaka kuongea na waandishi wa habari katika hotel ya Protea baada ya Rais Magufuli  kumtengua katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Nape Nnauye amekikumbuka kitendo hicho kilichotokea mwaka 2017.

“Mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo Mwemyezi Mungu aliniokoa na mdomo wa bunduki wa wanyama wasiopenda haki! Mungu mkubwa, mbegu ya haki haifi!” -ameandika Nape Nnauye


Nape Moses Nnauye

@Nnauye_Nape
Mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo Mwemyezi Mungu aliniokoa na mdomo wa bunduki wa wanyama wasiopenda haki! Mungu mkubwa, mbegu ya haki haifi!

9:51 PM - Mar 23, 2018

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad