Ugonjwa wa Dengue umerejea nchini baada ya wagonjwa 11 kugundulika katika Hospitali ya Ocean Road

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


DAR: Ugonjwa wa Dengue umerejea nchini baada ya wagonjwa 11 kugundulika katika Hospitali ya Ocean Road

Wizara ya Afya, Jinsia, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto imeeleza kuwa homa ya ugonjwa huo imendulika baada ya wagonjwa kadhaa waliokuwa na dalili zake kupimwa na kuthibitishwa

Mara ya kwanza ugonjwa huo uligundulika mwaka 2014 ambapo wagonjwa 400 waliupata. Walitibiwa na kupona, isipokuwa watatu ndiyo walifariki dunia

Tahadhari imetolewa kwa wananchi kupima afya haraka wanapohisi wana homa Kali, mafua na kuumwa kichwa kwa muda, ambazo ni dalili kubwa za homa ya dengue

Vimelea vya ugonjwa wa homa ya dengue husambazwa na mbu kama ilivyo kwa malaria. Hivyo wananchi wanahimizwa kuua mazalia ya wadudu hao haraka
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad