Wema Sepetu: Mimi na Aunt Ezekieli Tunapendana Hakuna wa Kutugombanisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wema Sepetu: Mimi na Aunt Ezekieli Tunapendana Hakuna wa Kutugombanisha

MKALI wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu amelifungukia Ijumaa Wikienda kuwa, hakuna mtu wa kum-gombanisha na staa mwenzake, Aunt Ezekiel kwa kuwa wanapendana.





Katika mahojiano maalum na gazeti hili, Wema ambaye mwishoni mwa wiki iliyopita alitupia picha karibia kumi kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram akiwa na Aunt alisema kuwa, mara kwa mara wamekuwa wakigombana, lakini siyo kwamba hawapendani.



“Hakuna wa kunigombanisha na Aunt. Kama tunagombana, mtu wa pembeni anatakiwa kukaa kimya maana tukipatana mambo yanakuwa ni moto,” alisema Wema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad