Alichokisema Mange Kimambi Baada ya Idriss Kuandika Hivi Kuhusu Maandamano ya April 26 "Maandamano ya Amani Juu ya Jambo Fulani Yanahaki ya Kupewa Sapport"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alichokisema Mange Kimambi Baada ya Idriss Kuandika Hivi Kuhusu Maandamano ya April 26 "Maandamano ya Amani  Juu ya Jambo Fulani Yanahaki ya Kupewa Sapport"
Idriss Sultani ameonekana kuwa upande ambao umemfurahisha mwanaharakati mange Kimambi kuhusu kuweka msimamo wake juu ya maandamano yaliopangwa kufanyika siku ya kesho april 26 huku muandaaji mkubwa wa maandamano hayo akiwa mwanadada mange Kimambi.

 Kupitia Ukrasa wake wa instagram Idriss aliandika "Maandamano yoyote yernye amani na ni kwaajili  ya kuweka awereness  juu ya jambo flani bila vita wala ugomvi wa aina yoyote  yana haki ya kupewa sapport  kama yamekugusa. Inaitwa the Democratic Republic on Tanzania. Let's  act like our name. Kuwa mzalendo kwa kuepuka maandamano ya shari tu Rismillah itangulie#mzalendo"

Baada ya Mange Kimambi kuona post ya Idriss naye aliandika hivi " Idriss uwezi kuelewa uzito wa post hii sababu watanzania wanahitaji  sapoti kama hii kutoka kwa nyinyi mastaa ni wewe pekee umejirisk  kwaajili yao. watanzania wanaweza  wasikulipe ila mungu atakulipa. Ulichokifanya leo  kina uzito wake. Idriss naomba usikae nyumbani siku ya leo........ Heshima yangu kwako is waaaaaay up there! salute!!!!!!"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad