AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na www.eatv.tv Msigwa amesema kuwa utaratibu wa tuzo yoyote lazima mtu anayepewa apewe taarifa rasmi, lakini mpaka sasa hawajapokea taarifa yoyote kutoka kwa waandaaji wa tuzo hizo, hivyo hawajui lolote kama ni kweli ama la.
“Hatuna taarifa ya tuzo hiyo, tunavyojua ni kwamba mtu yeyote anayepewa tuzo lazima apewe taarifa rasmi kutoka kwa watoaji, sasa hatujapata taarifa yoyote mpaka sasa, nasikia ndio tuzo ambazo kina Monalisa wameshinda, lakini hatujapokea taarifa rasmi kuhusu tuzo hiyo, hivyo siwezi nikaizungumzia”, amesema Msigwa.
Tuzo hiyo ambayo imetajwa kuwa ameshinda Rais Magufuli, imetolewa Aprili 15, 2018 jijini Accra nchini Ghana, ambapo pia Watanzania wengine katika tasnia ya filamu waliibuka washindi akiwemo Monalisa (Yvone Chery) na Ray Kigosi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK