Kiongozi wa Kidini Ahukumiwa Maisha Kisa Mamilioni ya Waumini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiongozi wa Kidini Ahukumiwa Maisha Kisa Mamilioni ya Waumini
Mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kuwa kiongozi wa kidini nchini India na kudai kuwa na mamilioni ya waumini dunia nzima, amehukumiwa kifungo cha maisha jela.

Mwanaume huyo Asaram Bapu ambaye anatajwa kuwa na umri wa miaka 77 amehukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike wa umri wa miaka 16.

Bapu anaripotiwa kufanya kitendo hicho mwaka 2013 na anatuhumiwa mara nyingi kufanya vitendo hivyo vya ubakaji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad