AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume huyo Asaram Bapu ambaye anatajwa kuwa na umri wa miaka 77 amehukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike wa umri wa miaka 16.
Bapu anaripotiwa kufanya kitendo hicho mwaka 2013 na anatuhumiwa mara nyingi kufanya vitendo hivyo vya ubakaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK