AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari, Makonda amesema kuwa utabiri wa hali ya hewa unaonyesha kuwa leo Aprili 16, 2018 mvua hizo zitakua kubwa zaidi hivyo wananchi hawana budi kuchukua tahadhari mapema zaidi.
"Katika mvua hizo zilizonyesha kwa muda wa siku mbili mfululizo zimeshaleta madhara kadhaa katika baadhi ya maeneo hivyo ili madhara zaidi yasiweze kujitokeza wakazi wa Mkoa huo wa Dar es Salaam hawanabudi kuchukua tahadhari mapema zaidi", amesema Makonda.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK