Viwanda visivyofanya kazi kurejeshwa serikalini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali imeunda timu ya kufanya mapitio katika viwanda vya serikali vilivyobinafsishwa ambavyo havifanyi kazi, ili virejeshwe serikalini.

Hayo yamesemwa jana Aprili 19, 2018 Bungeni Mjini Dodoma na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika kipindi cha maswali na majibu ya hapo kwa papo.

“Serikali imeunda timu ya kufanya mapitio kwenye viwanda vyote vya serikali vilivyo binafsishwa ambavyo havifanyi kazi ili virejeshwe serikalini,” alisema na kuongeza.

“Viwanda vyote vilivyobinafsishwa vitarejeshwa serikalini na kutafutwa watu wengine ili viendelee kufanya kazi na kutoa ajira kwa watanzania.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad