Wema Awatolea Povu Wanaomsema "Mi ndo Tz Sweetheart Bana Mpende Msipende ndo Nshakuwa Sasa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wema Awatolea Povu Wanaomsema "Mi ndo Tz Sweetheart Bana  Mpende Msipende ndo Nshakuwa Sasa"
Mwanadada maarufu nchini Tanzania  ambaye ni muigizaji wa movie za kibongo Wema Sepetu leo ameamua kumwaga povu kwa watu ambao wamekuwa wakimsema na kuwaambia kuwa yeye ni Tz Sweetheart  hata wakimsema na bado anawapenda tu.

 Kupitia accaunt yake ya Instagram ameanika "mi nawapenda tu ... mi ndo sweetheart bana .... mpende msipende nshakuwa sasa... ila ndo hivyo nshakuwa sweetheart ..sasa wewe seeeeeeeemaaaa, pondaaaaa.... ila Tz sweeheart ndo mie.... sema mnazungumziaje moto... kuchoma moto vepeee...?  ila nyie watu nyie... mnajua kuchoma moto ni process eeh... leo mmenipa mpya .... ntapambana na moto wenu... naahidi ntapambana nao .... ngoja nirudie .... NAWAPENDA tu.... nyie wangu tu.... ila sio kwa wenu ... "
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad