AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo alizoeleka na nyimbo kama Sizonje, Njoo Uichukue, Mjomja pamoja nyingine nyingi lakini safari hii akiwa na Harmonize kutoka WCB amekuja wimbo tofauti kabisa ambao unafanya vizuri kupitia mtandao wa YouTube.
Rais wa WCB, Diamond ameonekana kufurahishwa na kitendo hicho na kuamua kummwagia sifa muimbaji huyo.
“Kwa kweli Mrisho Mpoto nilikuwa nakuwaza sana, Kwa ufanisi wa serikali hii, ungewezaje kutupa vile vibao vyako vya #MJOMBA #WAITE Na Kadharika…. ila nimeamini kweli Mungu kakutunuku Kipaji na Ubunifu wa Sanaa, Sikutegemea kama UtaniSurprise namna hii… #NimwageRadhi Kali sana🙏🙏 ….Mdogo angu Mmakonde @harmonize_tz naona Mwaka Huu unahasira nao sana….Kama Naiona hiyo #WasafiFestival Huu Mwaka Sjui hata tuanzie Mkoa gani???,” aliandika Diamond Instagram.
Naye Mkuu wa mkoani wa Dar es salaam, Paul Makonda alimmwagiza sifa muimbaji huyo kutokana na kibao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK