Hii Ndio Adhabu na Faini Utakayo Pewa Utakapokutwa Umevaa Sare za Jeshi Bila Ruhusu..Faini Itakuacha Mdomo Wazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


#IjueSheria: Mtu yeyote ambaye hatumikii Jeshi la Ulinzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wala Jeshi lolote la Polisi lililowekwa kwa Sheria akivaa bila ruhusa ya Rais vazi rasmi la Jeshi lolote au vazi linalofanana na vazi rasmi au kuwa na alama yoyote ya Kiaskari atakuwa ametenda kosa

Mtu aliyetenda kosa hilo atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha mwezi mmoja jela au faini ya Tsh. Mia mbili

Aidha, hakuna kifungu kinachomzuia mtu yeyote kuvaa vazi rasmi katika michezo ya tamasha inayochezwa hadharani mahali popote iwapo ataliwakilisha Jeshi kwa nia njema
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad