AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji mmoja wa Clouds Plus baada tu ya kusikia kuwa Lulu Amebadilishiwa kifungo na kutoka gerezani alimua kunyanyua simu na kumpigia mama Kanumba na kumuuliza kuhusu hilo, na Mama Kanumba akajibu hivi
"Mimi sina la kusema bali ninamshukuru Mungu, na ninaomba yaishie hapo ,Serikali iliamua kumweka ndani na sasa imeamua kumtoa mapenzi ya Mungu yatimizwe" Mama Kanumba
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK