Kauli ya Mama Kanumba Baada ya Kusikia Lulu Michael Ametolewa Gerezani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtangazaji mmoja wa Clouds Plus baada tu ya kusikia kuwa Lulu Amebadilishiwa kifungo na kutoka gerezani alimua kunyanyua simu na kumpigia mama Kanumba na kumuuliza kuhusu hilo, na Mama Kanumba akajibu hivi

"Mimi sina la kusema bali ninamshukuru Mungu, na ninaomba yaishie hapo ,Serikali iliamua kumweka ndani na sasa imeamua kumtoa mapenzi ya Mungu yatimizwe" Mama Kanumba
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad