AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Mengi amekutana jana na Mhe. Lukuvi ofisini kwake kanda ya Dar es salaam ambapo walijadili mambo mbalimbali ambayo Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeyafanya katika sekta ya ardhi na kutoa fursa kwa wawekezaji wa ndani kuwekeza kwa urahisi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK