Rais Magufuli, Kinana wateta Ikulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Taarifa iliyotolewa leo na Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu inaeleza kuwa Rais John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana.

Katika mazungumzo hayo Rais amepokea salamu kutoka kwa viongozi wakuu wa vyama tawala vya ANC cha Afrika Kusini na ZANU PF cha nchini Zimbabwe.

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa Rais na Kinana wamezunguma pia kuhusiana na maandalizi ya vikao vya kamati kuu na halmashauri kuu ya chama hicho vitakavyofanyika Mei 28, 29 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad