Time ya Soka ya Watoto wa Kike Yachukua Nafasi ya Pili Kombe la Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Timu ya soka ya Tanzania ya watoto wa kike wanaoishi katika mazingira magumu, imefungwa kwa mbinde goli 1-0 na timu ya Brazil katika fainali ya Kombe la Dunia( Street Children World Cup)
-
Kwa matokeo haya timu hiyo imeshika nafasi ya pili katika michuano hiyo iliyoandaliwa na Shirika la Street Child United na kufanyika nchini Urusi
-
Timu hiyo ya Tanzania mpaka inaingia hatua ya fainali ilikuwa haijapoteza mchezo hata mmoja na hivyo mchezo wa fainali waliofungwa ndio mchezo pekee waliopoteza
-
Itakumbukwa kuwa mwaka 2014 nchini Brazil, timu ya wavulana walio kwenye mazingira magumu ilichukua ubingwa kwa kuifunga Burundi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad