AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Tulikuwa tunajua Ngoma anaumwa, tumemvumilia kwa muda wa mwaka mzima alikuwa analipwa amekaa ame-relax ana fake leo tunashangaa anakwenda kusaini Azam.”
“Kwa hali ya kawaida hata wewe ukimwambia mwajiri wako unaumwa anakwambia mvunje mkataba ili ukatibiwe zaidi halafu siku hiyohiyo unaajiriwa sehemu nyingine, mwajiri wako atakuelewa vipi?”
“Kitu alichofanya sio cha kibinadamu inaonekana ameweka maslahi mbele kuliko utu, mimi kama mwenyekiti wa kamati ya usajili imeniumiza sana.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK