Boko Haram yafanya shambulizi na kuua wanne

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watu wanne wameripotiwa kupoteza maisha katika shambulizi la Boko Haramu nchini Nigeria. Shambulizi hilo limetokea kaskazini mashariki mwa Nigeria. 

Kamanda wa polisi wa eneo hilo  Damian Chukwu amesema kuwa magaidi hao walivamia kijiji na kuanza kumimina risasi kwa raia. 

Idadi kubwa ya wananchi wamejeruhiwa katika shambulizi hilo. Nigeria imekuwa ikiandamwa na mashambulizi ya boko haramu mara kwa mara.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad