AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sirro alitoa msaada huo uliojumuisha mafuta ya kula, mchele na miswaki katika sherehe ya futari iliyowakutanisha viongozi mbalimbali katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi (Police Mess) uliopo Oyster Bay jijini Dar.
Katika hafla hiyo ilijumuisha viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda; Sheikh Mkuu wa Tanzania, Aboubakary Zubeir; Sheikh wa Mkoa wa Dar, Alhad Mussa Salim; Kamanda mstaafu wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova na viongozi wengine mbalimbali wa dini na siasa.
Mkuu huyo wa polisi alisema: “Nawashukuru wote ambao mmejitokeza hapa, bila ya nyie shughuli hii isingeweza kufanyika. Jambo hili ambalo linatokea hapa kwa nchi nyingine ni ngumu kufanyika kutokana na kukosa amani, hivyo tunatakiwa kushirikiana kwa ajili ya kuitunza amani yetu iliyopo kwani nchini nyingine zinatamani kuwa kama sisi.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK