AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Eric Omondi ameelezea kuhusiana na kifo cha kaka yake Joseph Onyango Omondi ikiwa ni saa 12 baada ya kupatikana mtaa wa Downton River Nairobi na kukubali kumsaidia kurudi katika hali yake ya kawaida na kuachana na dawa za kulevya.
“Hii sio picha ya mwisho ya kaka yangu niliotaka kuipost, lakini ni picha ambayo nataka kila kijana kwenye hii nchi kuiona. Joseph Onyango Omondi amefariki leo asubuhi saa tisa, ikiwa ni saa 12 baada ya kumkuta Downton River Road “
“Alikuwa akitumia dawa za kulevya aina ya Cocaine na vitu vingine na alikuwa akienda Rehab na kutoka kwa Milka 19, Mungu mwenyewe ndio atatoa malipo. Namshukuru kila mmoja ambaye alikuja jana kutusaidia”
Source: Millard Ayo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK