AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa ukweli ni kwamba licha ya kufanya ngoma nyingi za wasanii wakubwa barani Afrika akiwemo Mr. Eazi na Patoranking, tayari mkali huyo wa midundo ameshafanya kazi na Akon na Kery Hilson.
Akithibitisha taarifa hizo mzazi mwenzie wa kundi la Navy Kenzo, Aika amesema kuwa tayari Nahreel ameshamaliza kufanya kazi hizo na kinachosubiriwa ni muda tu.
“Kuna meneja wetu mmoja nchini Marekani ambaye amejaribu kumfanya Nahreel afanye kazi na Akon.. na Kery Hilson soo! Nahreel soon anafanya nao kazi,“amesema
Kama ulikuwa hujui basi nikujuze, kuwa Nahreel ana mtoto mmoja anaeitwa Gold ambae amezaa na mpenzi wake wa muda mrefu na mwanamuziki mwenzake ambae wameunda kundi linaloitwa NAVY KENZO
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK