AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Petit Man alifikia hatua ya kusema hayo baada ya hivi karibuni kutupia video kwenye ukurasa wake wa Instagram ikionesha futari ambayo ilionekana kutopikwa vizuri na watu kuanza kumshambulia kuwa mkewe hajui kupika.
“Unajua mimi sibishani hata siku moja na watu wa mitandaoni kwa sababu najua wazi sio mke wangu aliyepika ile futari. Akipika yeye chakula kinakuwa cha uhakika, nikila nasikia raha hadi najivunia kumuoa, hao wanaosema Esma hajui kupika, wana lao jambo,” alisema Petit Man
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK