AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Lechantre kutoa kauli ambayo inaashiria hana maisha marefu Simba, ofisa habari Haji Manara amesema haoni nafasi ya kocha huyo kubaki kuendelea kuifundisha Simb.
Kwa upande wa Kaimu Rais wa Simba Salim Abdallah amesema kocha bado yupo ndio maana alikuwepo kwenye tuzo: “Kocha yupo ndio maana yupo hadi kwenye tuzo, ataondoka kwenda likizo baada ya mashindano kumalizika
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK