AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Sitaki kuamini kiki inapatikana kwa kukaa uchi au ili uwe 'star' lazima ufanye mambo ambayo jamii pamoja na familia yako ikakuona kituko basi apo wewe ukajiona 'star' hapana nadhani waliokuzunguka watakuona kituko.
Sifa ya msanii ni moja tu,msanii ni kioo cha jamii, kuburudisha na kuelimisha kupitia sanaaa ama kipaji chake, panapotokea mtu akafanya kinyume na katiba yetu basi uyo anatuchafua wote ata wenye maadili wanaonekana ndio wale wale".
***Maneno yake Steve Nyerere Akimtolea Mapovu Irene Uwoya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK