Wanaopiga Simu za Uongo Fire Kukiona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanaopiga Simu za Uongo Fire Kukiona
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto mkoa wa Arusha Kennedy Komba ametoa angalizo kwa wateja wanaopiga simu za bure katika jeshi hilo wakiwa hawana tatizo lolote kuwa wataanza kuchukuliwa hatua ikiwemo kupelekwa mahakamani kwa kuwa wanatenda kosa la jinai.

Komba pamoja na mambo mengine amesema wajenzi waa majengo katika maeneo mbalimbali wanatakiwa kuwasiliana na jeshi hilo ili kupata ushauri wa jinsi gani wanaweza kutengeneza miundombinu imara ya kukabiliana na majanga ya moto.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad