Waziri Mkuu DRC Ametangaza Rais Kabila Kutogombea Tena Urais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Mkuu DRC Ametangaza Rais Kabila Kutogombea Tena Urais
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Bruno Tshibala amesema rais Jospeh Kabila hatawania tena urais, wakati wa Uchaguzi Mkuu mwezi December.

Tshibala, amesema kuwa Kabila ambaye muhula wake ulikamilika mwaka 2016, ataheshimu Katiba.

Hata hivyo, wanasiasa wa upinzani wamekuwa wakisema, wanamtaka rais Kabila mwenyewe kutanagza kuwa hatawania tena na kwenda kinyume na katiba ya nchi hiyo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad