Nimerekodiwa Video ya Ngono Bila Kujijua. Nifanyeje?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wadau natumaini mu wazima Mi ni mjasiriamali toka Arusha but huwa nakuja Dar kwa ajili ya kuchukua bidhaa, nikiwa Dar napenda kujibururdisha ama MEEDA au KONA BAA/AMBIANCE AFRIKA SANA huwa nikipata demu wa kupiga nampelekaga Guest/hotel niliyofikia tunafurahia "game" asb namlipa chake anatambaa.

    Sasa katika kuingia guest kadhaa za hapa Dar nimegundua hawa jamaa wa guest wanaweka SECURITY CAMERAS kuanzia kwenye parking, kwenye korido, karibu na milango, vyumbani hadi bafuni. Je, ni haki kuweka security camera hadi vyumbani/bafuni?

    Jana nikiwa kwenye foleni Magomeni Mapipa dogo mmoja akaja na DVD kibao za dini, chini yake ameweka DVD ya X ina picha ya WEMA nikainunua ile kufika hotelini nikaweka kwenye laptop najiona mimi na demu niliyemchukua wk 2 zilizopita.

    Hakika nilichoka, sijui cha kufanya nishaurini wadau.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

11 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. **Kawashtaki wenye hotel uliyofikia na uwadai fidia ya m500 ili iwe fundisho kwao kwani wameingilia uhuru wako na sio haki kuweka cctv kwa room au kwa toilet so usiwalegezee jembe komaa nao paka kieleweke**

    ReplyDelete
  2. Piga copy kibao uuze CD

    ReplyDelete
    Replies
    1. Acha kushauri mtu ujinga kama huna mawazo.mazuri,jamaa ameshanasa umshauri anajitoa vipi wewe unampa ushauri wa kindezi,au wewe ndio unahusika na hiyo hotel nini?nahisi ni ya basha Wako.

      Delete
  3. duh pole ndugu,, is not fair pia nikudhalilishwa, chukua sheria wangu kawashtaki

    ReplyDelete
  4. Kaka dili ilo mtafute wakili katika hotel uliyofikia mueleze kila kitu Kuusu iyo DVD Uliyo recodiwa bila ridhaa yako watakulipa Fidia ya ela nyingi sana tena tena utatoka kimaisha kutokana Na ela utakayo lipya tafuta wakili fasta Kaka dili ilo,awana Haki kuweka Camera mpaka Vyumbani Na chooni hata iwe 5 star hawana ruhusa iyo nafanya kazi katika 5 star Hotel hapa Dubai Hakuna Camera vyumbani wa chooni Na airuhusiwisi kuweka Camera vyumbani Wala chuooni Dili ilo Kaka changamka mapema Biashara Hasubuhi..

    ReplyDelete
  5. HAKUNA kitu kama hicho hizo ni fix

    ReplyDelete
  6. ukome kuchukua makahaba ......yo zako

    ReplyDelete
  7. uongo mtupu fi hizo story ya kutunga hii

    ReplyDelete
  8. hii story nishawahi isoma mwaka juzi sehemu tofautu tofauti ni ya kutunga hii

    ReplyDelete
  9. Itaje hiyo hotel ili isipate wateja

    ReplyDelete
  10. Iangalie vizuri hiyo video uone. Jinsi unavyokatika mauno

    ReplyDelete

Top Post Ad