Mwanamke Kukauka Maji Sehemu za Siri Wakati wa Majambozi..Please Help

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Husika na Kichwa cha habari hapo juu Mimi ni Msichana wa umri wa Miaka 21 , Nimeanza mapenzi muda kidogo , Boyfriend wangu wa kwanza nilikuwa na Miaka 18 nilikaa nae miezi sita tu tukaachana sababu anasema mimi sio mtamu na alikuwa haenjoy tukifanya tendo kwa vile muda wote mimi ni mkavu huku chini hata akiniandaa vipi  tukishaanza tu nakauka, Wa pili nae akawa analalamika hivyo alijitahidi lakini ikafika wakati akawa hadi anachubuka sehemu zake Akaniacha, Kwa sasa ninae mwingine mpya sijawahi fanya nae kitu chochote kila siku nampiga tarehe kwa kuogopa nae atanikimbia ..Naombeni ushauri Nifanye nini ama nitumie dawa gani .
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

12 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Watu wengi hujidanganya kwamba msichana mkavu ndio mtamu,wakisahau ukweli kuwa maji maji ya ukeni yana kazi kubwa sana ya kurainisha njia na kupunguza michubuka kama aliyopata mpenzi wako,tatizo nililoligundua kwa maelezo yako mafupi ni kwamba huwa unafikiria v2 vingine wakati mpenzi wako anakuandaa,pili mwambie mpenzi wako sehemu ambazo akizishika au akizilamba unajisikia raha,inaonekana majimaji unayo lakini kuna woga flani unakuwa nao wakati wa tendo
    Kwa maelezo zaidi tuwasiliane

    Dr Micky.

    ReplyDelete
  2. huyo uliekuwa nae sasa ukempa mkundu hakika hatokuwacha huo ndio ushauri wa wangu .

    ReplyDelete
  3. huyo uliekuwa nae sasa ukempa mkundu hakika hatokuwacha huo ndio ushauri wa wangu .

    ReplyDelete
  4. Jamani wana ushauri,naomba muwe mtoa ushauri wa busara na hekima pale mtu anapokuwa na tatizo fulani,sio vinginevyo.jueni ya kuwa ni wengi wanasoma ukurasa huu wa udaku na pengine kwa namna moja ama nyingine na wao wanatatizo kama hilo.tuwe wasataarabu jamani

    ReplyDelete
  5. Dada ni mawazo unakuwa unayapeleka sehemu nyingine wakati wa tendo hilo,cha msingi unachotakiwa kufanya ni kuwa muwazi kwa mwenza wako ,uwazi wa kumueleza maahali ambapo wewe ukishikwa utajisikia raha ambayo itapelekea maji kutoka.kuwa muwazi na unapofanya tendo hilo hakikisha mawazo yote yanakuwa hapo.ndio maana wazungu walianzisha mikanda ya x ili kuleta mvuto kwa aliye na mawazo ya mbali hususana wakati mnapoanza tendo hilo. Pole sana dada

    ReplyDelete
  6. Naitaji email Yake niweze kuwasiliana Na wewe bye Person au hata Facebook Yake maana nna mengi ya kutaka kukwambia peke yako pls!!!nijuze ni jinsi gani naweza kupata mawasiliano yako

    ReplyDelete
  7. Pole sana dada yangu unatakiwa ule sana mabamiya!

    ReplyDelete
  8. Pole sana dada yangu unatakiwa ule sana mabamiya!

    ReplyDelete
  9. mdada kula sana ndizi za bukoba za kuchemsha na punguza chumvi sana kwenye chakula chako pia penda kula sana vitu vya boil na ufuta ambao umechemshwa utajipenda hata chupi utachafua sikufichi baada ya wiki mbili tu utakuwa na maji.

    ReplyDelete
  10. naungana na huyo mchangiaji hapo juu, pia kula ndizi za bukoba na nyanyachungu kwa wingi pia wakati wa majambozi usihamishe mawazo

    ReplyDelete
  11. mmh! pole ntafute nimesaidia weng tu mbon hilo sio tatizo nichek kw 0755768681

    ReplyDelete

Top Post Ad