Sikiliza na Download Wimbo Mpya wa Lady Jay Dee unaitwa Yahaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sikiliza na Download Wimbo Mpya wa Lady Jay Dee unaitwa Yahaya hapa:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

13 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Nakupenda dada angu, na naikubali kila wimbo unaotoa..mbali na hayo huwa haushindwi! Upo juu. Luv u

    ReplyDelete
  2. Msimdanganye mwenzenu, nilichogundua watu wengi wanampa huyu dada Sifa hata hasizostahili sasa huo mwimbo Wa Yahaya kaimba nini ? Maana ukisikiliza Kama anaongea na ai kuimba!! Kwenye taarabi haupo bongo fleva ndio kabisaaaa. Hauna jipya wala cha kushtua ,

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hapo ndipo alipotuteka sasa maana tunacheza hatujielewi, nenda kwa mwanafatuma wako...na sasa hivi hata akikohoa sie tunajua anaimba

      Delete
    2. Labda hawuelewi kiswahili au si fan wake, but anavyoimba vinaeleweka na ni maisha ya watu ya kawaida! Wanaodanganya kazi wanazozifanya na kusema wanaishi sehemu nzuri kumbe hata siyo!!!

      Delete
    3. jamaa vpi hajielew

      Delete
  3. Mimi nauliza tuzo aliyopewa kafanya nini 2012 mpaka kustahili kupewa hiyo tuzo hajatoa singe yoyote iliyobamba 2012 kustahili kuwa bora.

    ReplyDelete
  4. nyie acheni kumnanga dada wa watu kiukweli jdee ni msanii mzuri na amedumu kwenye tasnia ya muziki kwa muda mrefu kuliko wasanii wa kike nchini nyie mnayeponda ndio mnatufanya tz miaka 50 ya uhuru bado tupo under highly indebted poor country kwa sababu ya masengenyo kwa watu wanaojituma badala nanyi mfanye kazi acheni ufala

    ReplyDelete
  5. ROHO INAKUUMA JDE KEPENDWA?KAJINYONGE UCCKIE SIFA ZAKE.

    ReplyDelete
  6. Dah! Wot mnajcemesha lkn wakna yahya wapo weng na mitaan 2nawaona,kwan wakfkishiwa ujumbe hta kwa kuptia jd n vbya? Wabongo 2ache chki binafs. Abuu wa mwz.

    ReplyDelete
  7. Ujumbe umemfikia huyoo! yahaya

    ReplyDelete
  8. Lad jay dee mtoto wa kikurya burudisha watanzania huku ww mwnyew ukiendlea kuu2nisha mfuko wako pamoja xan

    ReplyDelete

Top Post Ad