DIVA NI MJAMZTO? TWEET ZAKE ZAONYESHA NI MAMA KIJACHO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tunafahamu jinsi Diva the Bawse anavyopenda watoto, hivyo huenda sasa akawa anataka wake mwenyewe. Jana alitweet mambo kadhaa kuashiria kuwa tayari ana kiumbe tumboni mwake.


“When you are pregnant, you went through a lot , sickness. Jhezus and its kinda boring,” aliandika.
Aliongeza tena, “Day by Day. Inshaallah,” na kisha kuandika, “I’m grateful for what I have and I’m falling in love with it more and more every day. God gift. I’m feeling the heartbeat. Feels good.”
Hata hivyo hii si mara ya kwanza kwa mtangazaji huyo wa Clouds FM kuandika suala kama hilo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

16 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. adnini huyo attention seeker usiwe unatuwekea humu

    ReplyDelete
  2. Xaxa hicho kijacho ni cha MHESHIMIWA au MSANII,?.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hahahah..... kumbe siku hizi 'xaxa' ndio sasa....hapo umefupisha nin?au ndo kuonesha kwamba wewe ndo wakisasa zaidi

      Delete
  3. attention seeker hyo mimba nyngi tuu katoa sasa hvi ndo anajidai kutamgaza mboba akitoaga hua hatangazi?????mxieuwww hyooo

    ReplyDelete
  4. FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
    Ndugu zangu najua wengi Watanzania ndio mnaoisoma hii Blog yangu zaidi na pia namimi niliifungua kwa Ajili ya Ndugu zangu Watanzania zaidi ''so I' AM Proud and over the Moon to see that''Karibuni sana ''
    Sasa basi leo ninayo machache yakuwanung'unizia'' Hii ni kuhusu wale wote wanajihusisha kwa Biashara Haram''hasa za Ubebeshwaji wa Unga'Sembe,Punda na mwisho wa siku yote hayo yakijulikana na Dunia kama Cocaine Biashara'' yani Madawa yote yakulevya'' Yamekuwa ni Njaa ya Pesa kinaomaa''
    Sasa Mburula kama Huyu hapa Chini leo kajitokeza na kusema Eti alijua wale wasichana walikuwa wanakwenda kufanya hiyo Biashara' kwani walikuwa na Njaa ya Pesa akawakataza lakini hawakusikia'' Mimi kwasababu yameshawahi kunitokea kutendwa na EX'S NA HATERS WANGU ''Naweza kusema ninawajua Ex's na Haters'' wanavyoweza kujisikia Vibaya sana pale ambapo umewakataa'' Kimapenzi au kibiashara zao ''sasa wanaposikia unamatatizo wao ndiyo wakwanza kujitokeza na kusema Uwongo ili kukukomoa sijui ''yani nikiimanisha ''kukulipizia kisasi'' cha kuwaacha au kutokukubaliana nao' Kama mwakumbuka yule Mburula wa Mamburula's William ''Big Shit'' alivyojifanya kwamba yeye ananijua sana Mimi ni Chizi sijui hili na lile''Kisa nilimkatalia kumuowa aje kujiuza Uk-London '''hivii anaweza kweli kwenda na mimi hospital tukapime huo ukichaa kama alivyodai mpaka na mahakamani atakuja kwa Kesi changu na Godbless Lema Mbakaji na Mbunge wa Arusha''?? Mungu wangu'' yani Mtu kuwa nae kwa Madakika na Kumpa zawadi zake kutoka UK kwa Marafiki zake ndo yamekuwa ananijua sanaa na pia nimeweza kumbebea Zawadi zake na Zawadi zangu nilizomnunulia Uk alizoniomba Mwenyewe 'hakuona Mimi chizi wakati huo..lakini nilipompotezea na Kurudi zangu Uk-London Bila kuowana nae''Ndo nimekuwa Chizi''''Kichaa''??Mbuta Nanga!!Yewoomi waka na wasoro'''hahhahaa''Ndiyo maana nasema hivi'' Huyu mwanaume hapa'

    ReplyDelete
    Replies
    1. For what?y here?we uliepost kweli mbulula.hatujazoea ku deal na vyangudoa.

      Delete
  5. harafu weee diva nahiyo mimba yko unajishaua hivi kile kipindi chaki change Ara za rohoni ni cha kupiga nyimbo zabongo foleva au Michael mahusiano au unafosi kiwe kpndi cha xxl ...xxl waachie wenzio. wanakimudu

    ReplyDelete
  6. Udaku siku ya leo huna jipya...

    ReplyDelete
  7. unasura mbaya khaa na hizo mboni ka jini

    ReplyDelete
  8. na uyo matako apo juu..anatueleza nn sasa ...mi nashangaa sana wa2 wengine...!! Mapnz yenu ndio unaleza apa..kwanza si maali pake changu mkubwa wee !! Ooh sijui zawadi za uk..matako gan ..ndio tujue vp sasa ! Kwamba we m2 wa mbele sna..WTF

    ReplyDelete
  9. Muongeze! Halaf anaelekea ni kilaza kwnz analeta v2 visivyoeleweka..

    ReplyDelete
  10. Duh! Sura na saut v2 2 tofauti. U got hav beautfl and sexy voice but u hav very agly face. Nilikua nikikusikia nadinda coz nilijua saut yako ni nzur kama sura yako kumbe dhoruba. Sidindi tenaaaaaa.... Lol

    ReplyDelete
  11. Huyu demu hamnazo sijui asingekuwa wafu fm angekuwa anauza nunu hunters club knondoni.

    ReplyDelete
  12. Anapenda sana kujishaua kutwa magazetini

    ReplyDelete
  13. Prizoo akimwoa diva mi nakunya mtaa mzima,maana hata bek 3 we2 anamzidi uzuri

    ReplyDelete
    Replies
    1. prezzo kashamwaga siku nyingi hapo anajishaua tuuu hana bwana

      Delete

Top Post Ad