FEZA KESSY MATITI YOTE NJE NJE UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA LADY JAY DEE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Video ya yahala ilizinduliwa rasmi jana pande za nyumbani lounge. Baadhi ya wasanii kama Feza Kessy ambaye alikuwa mgeni rasmi, Vanessa Mdee  na  Mkolon...

Pamoja  na  kuwa  mgeni  rasmi, Feza  anadaiwa  kuwa  miongoni  mwa  wasanii  waliokuwa  wamevaa  vibaya huku sehemu kubwa ya matiti yakiwa wazi

Vazi   lake  lilikuwa  likiyaanika  matiti  yake  hadharani, hali  ambayo  iliwafanya  hata  watoto  wayashuhudie. 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

23 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. fala 2 uyo anaiga mpk anapitilizaa

    ReplyDelete
  2. Nguo nzuri sema matiti yake hayana mvuto kuvaa hivohivo kama ilivyokuwa kwa geneviv alivyovaa nguo ya ivo hapo angepiga bra ya ukweli angetokelezea mbaya..kapendeza kasoro kifuani

    ReplyDelete
  3. Yupo kibiashara zaid kumbe 2semmaje ziwa lenyewe baya utafkl ananyonyesha

    ReplyDelete
  4. Anaamini anaweza kuishi kwa kutumia sehemu za haja

    ReplyDelete
  5. Umalaya tu maziwa yenyewe kama malapa lo!kinyaa

    ReplyDelete
  6. Replies
    1. Acha ujinga wewe mkeo anaweza kuvaa hivyo?

      Delete
  7. Mindala hiyo,bora angeipiga jek.

    ReplyDelete
  8. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  9. Katumika sana huyo!

    ReplyDelete
  10. Du!!,ifikie time huzo nguo zipigwe marufuku

    ReplyDelete
  11. Shoga nguo km hz waachie wenye maziwa yaliyosimama, ziwa ka kandambili afu unaliacha wazi inahusu??
    Big up komando jide.

    ReplyDelete
  12. Shoga nguo km hz waachie wenye maziwa yaliyosimama, ziwa ka kandambili afu unaliacha wazi inahusu??
    Big up komando jide.

    ReplyDelete
  13. Miziwa mibaya kama kandambili

    ReplyDelete
  14. Duuuuuuh kidem chenyewe kimekauka then maziwa yamesinyaa kama Soksi ya golikipa iliyojazwa mchanga ,yaani hakana msisimko wala hakakosex aaaaaaaahhhggggg kinyaaa kwakweli...............

    ReplyDelete
    Replies
    1. yeye na shogake vanesa mdee wamekomaa kama miti ya kuchimbia dawa kiruuu

      Delete
  15. Watoto usiku walikua wanafanya nn ukumbini? Nadhani we mwandishi unakaaga vibarazani na kutunga majungu
    ..
    .......
    mnafiki

    ReplyDelete
  16. ana matiti mazuri lakn

    ReplyDelete
  17. Mwacheni mtoto wa watu anakwenda na wakati hiyo ni fashion (Ref. Genevive wa Nigeria) na pia anaangalia yuko wapi na watu gani (rika), shughuli gani. Kwani angekua barabarani kamwe asingevaa hivyo. Kumbuka huyo dada zimo kichwani, anajua anachokifanya na bado msichana wivu tuweke kando ni mrembo na matiti ni mazuri.

    ReplyDelete
  18. ndo sayansi na teke linalomjia... Mungu utuhurumie;

    ReplyDelete
  19. WA TZANIA NDO MAANA MAENDELEO TUTAYASIKIA REDIONI,KUYAONEE KWENYE RUNINGA NA KUSOMA GAZETINI....MUST WE BE NEGATIVE ALL THE TIME?! MNAACHA KUTOA COMMENTS KWENYE ISSUES ZINAZORUDISHA MAENDELEO NYUMA MNAFATILIA MAVAZI WANAYOVAA WATU USIKU KWENYE NYUMBA ZA STAREHE....

    ReplyDelete

Top Post Ad