OMMY DIMPOZ APIMA HIV NA KUSEMA "SINUNUI WALA KUUZA MECHI TENA"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hii Ndio Post Yake kwenye Instagram Ya Star Wa Single Mpya 'Tupogo' Ommy Dimpoz Kuhusu Kupima HIV Na Kuamua Kuto Uza au Kununua Mechi Tena.
Kwenye Interview ya simu niliyo fanya nae leo, Ommy ameniambia hizi ndio sababu za yeye kupima H I V


  1. Kujua Afya ili ujilinde na uwe mtu bora.
  2. Kukinga wengine baada ya kujua afya yako pia ni muhimu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. If were postive ungetuanikia majibu hatharani?NONSENSE....:/

    ReplyDelete
  2. mnakosaga v2 vya kutangaza nini..kila m2 angekuwa anatangaza cjui ingekuwaje

    ReplyDelete

Top Post Ad