DUDE APEWA MAKUVU LIVE BAADA YA KAULI YAKUE KUWA WASANII KIKE BONGO MOVIE WAMETOKEA KWENYE UCHANGUDOA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

WASANII wa kike wanaotamba kwenye filamu za Kibongo, hivi karibuni wamembwatukia staa mwenzao, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na kuipinga kauli yake kwamba mastaa wengi wa kike wametokea kwenye uchangudoa na kuvamia tasnia hiyo, shuka na mistari uipate habari hii.

Wakizungumza na Risasi Jumamosi, mastaa hao wamemtaka Dude kuacha tabia ya kuropoka kwani kauli yake imewavunjia heshima mbele ya jamii.

Baadhi ya mastaa waliotoa kauli za kumbwatukia Dude na kauli zao ziko hapa chini ni hawa wafuatao: 

TAMRINA POSHI ‘AMANDA’ 
“ Ni heri Dude aache kuzungumza vitu visivyokuwa na maana, ajifunze  mambo mazuri kwani ni mtu mzima sasa. Kila mara anatuponda wasanii wa kike, kila mtu ana maisha yake kama wapo wanaofanya uchangudoa hao ni hulka zao, sina tabia hiyo na sanaa nimeianzia kwenye vikundi .”

Upendo Mushi 'Pendo'.
 UPENDO MUSHI ‘PENDO’ 
“Kauli ya Dude siyo ya kweli kama wapo ni  baadhi na siyo wote, sijaingia kwenye sanaa kwa rushwa ya ngono na sina tabia hizo, sijaipenda kauli yake.” 

BABY MADAHA
“Siyo kweli kwamba sisi ni machangudoa . Wasanii wa kike wenye tabia hizo wanatoka katika maisha duni na wale wanaolipwa malipo duni kwenye filamu lakini wengine tumetokea kwenye familia   za hadhi na tunaishi kwa kufuata maadili.”
HALIMA YAHAYA ‘DAVINA’
“Sijaipenda kauli ya Dude, ametukosea sana ingawa watu wengi wanaona tasnia hii ni kama  ya kihuni lakini siyo wote wenye tabia hizo za kihuni, wengine tunajiheshimu na tuna familia zetu tunaithamini sanaa  tunaichukulia kama kazi.”

SNURA MUSHI
“Dude ameongea uongo, binafsi siko hivyo na sina maisha ya kuzurura, starehe na pombe na sitarajii kuwa na maisha hayo, ili heshima yake iendelee, angetuomba radhi na kuifuta kauli yake.”
MIRIAMU JOLWA ‘JINI KABULA’
“Huo ni mtazamo wa Dude, wasanii wa kike tunatakiwa kumuombea kwa Mungu ili ampe akili za kuweza kuzungumza vitu vya maana na siyo hivyo vya kutushushia heshima kwenye jamii.” 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hajakosea hata kdg.kwn kuna wengi tunawafahamu walikuwa wanaishi kwny madanguro.wakileta ubishi tutawataja.wengine wamezalishwa na hawajui mimba ni ya nani.

    ReplyDelete
  2. ukweli unabaki ukweli tu ck zote.karibu mabinti wote wa filam za bongo ni machangu.

    ReplyDelete
  3. Mdau wa kwanza nimeipenda comment yako,wataje basi ili wafunge mdomo

    ReplyDelete
  4. Kweli kabisa dude

    ReplyDelete
  5. ebu watajeni bac, ili tuanze kuwanunua na kuwafira

    ReplyDelete
  6. Haya bana mi napita

    ReplyDelete
  7. Mi mwenyewe napita ha!ha!ha! dude bwana.

    ReplyDelete
  8. Co km wameanzia tu mpaka leo ni makahaba

    ReplyDelete

Top Post Ad