KIKWETE:TUNAWAJUA NA KUWATAMBUA MAJANGILI WA TEMBO TANZANIA.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hivi kwa nini JK anaongea sana?

How hard is it kuwachukua hawa watu, na kuwafilisi kila kitu kisha kuwaachia huru?

Maana kuwafunga ni kumaliza pesa za walipa kodi kwani watakula bure jela

I'm very disappointed na hii softly softly approach ya JK.

Pia kwa nini ripoti ya Kamati ya Maliasili haiko wazi ili kila mwananchi mlipa kodi aisome na ajue hao watu wakubwa ni akina nani?

JK nakushauri vua kufia yako ya uanasiasa vaa kofia yako iliyokufanya ukaitwa COLONEL kule JWTZ

Na kama COMMANDER IN CHIEF wetu sote tuko nyuma yako.
JF
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hizo stori tumezichoka. Wataje majina yao tuwajue

    ReplyDelete
  2. Na mtakuwa disappointed sana wadanganyika.

    ReplyDelete
  3. Mbona huwataji au unawaogopa?tumechoka na story zako,mara nawajua wauzaji wa madawa ya kulevya mara nawajua vinara wa majangili tumechoka mziki huo huo kila cku na haufiki mwisho.Tumechoka kudanganywa

    ReplyDelete
  4. Kama vipi tuluhusu na sisi tukamalizie waliobaki, inachosha sana kirasiku nawajuwa nawajuwa hutekelezi. wataje nasisi tuwajue kama wewe unawaogopa sisi tutawafanyia kazi

    ReplyDelete
  5. Hata wabunge wako lakini hawatajwi kwanini Kuna kitu hapa.

    ReplyDelete
  6. NI kweli mh. Raisi ni viongozi wetu ni wajomba zetu ni ndugu zetu, si ujinga wetu tu ndio unaotusumbua, sis black people,

    ReplyDelete

Top Post Ad