Sikiliza jinsi Mapenzi Yalivyomtesa Msichana wa Kitanzania Kutoka kwa Raia Huyu wa Canada.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni stori ya kusikitisha ambayo ukiisikiliza moja kwa moja ndipo unaelewa,kifupi ni kwamba dada yetu wa kitanzania alikua na mahusiano ya kimapenzi na mvulana raia wa Canada,ambayo kwa maelezo ya dada yetu walionana kwenye fukwe(beach)kisha wakapendana na kuamua kuishi pamoja.

Kulingana na maelezo ya dada huyu baada ya jamaa kuonekana kama kumchoka aliamua kumfanya kama msichana wa kazi lakini pamoja na kumfanya kama msichana wa kazi,hata malipo hakuwa anamlipa.

Bonyeza Hapa Kusikiliza:

 

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Shida nyingine tunajitakia wenyewe! Madai yake hana pa kwenda Tz nzima hana ndugu wala jamaa!?

    ReplyDelete
  2. Too much kujirahisisha dada zetu kiss mzungu.

    ReplyDelete
  3. wazungu pia wanadam wapo wenye roho nzuri na mbaya, ivo usione ile rangi ukakurupuka tu

    ReplyDelete
  4. Wel said mdau kuna baazi ya wazungu awanaga matatizo ila wengne baana n shhhhhiiida tupu

    ReplyDelete
  5. si aondoke na asamee izo hela mungu atamlipia,

    ReplyDelete
  6. Kazi kweli kweli!

    ReplyDelete
  7. Eti polisi katukanwa black monkey then kachekelaaaa aibu ilio je

    ReplyDelete

Top Post Ad