Tabia ya wadada/wanawake kubadilisha status kwa hitilafu ndogo za kwenye uhusiano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo naomba tujadiliane hili maana nimekua nikiliona sana,
Kwa ushahidi mkubwa nimeliona kwa rafiki zangu wengi sana na hata mimi limewahi kunitokea.

Mdada uliyenae uhusiano mkipishana kauli kidogo na ukawa kimya basi atadhani ndo keshapigwa chenga hapo ataanza kuhangaika na kubadilisha status kwenye social networks kama whatsapp, Facebook etc.

Kwa mfano mlipokua kwenye uhusiano hajawahi kuandika jambo la hivi ila leo mnakwazana jambo dogo utaona Whatsapp au Facebook ameandika: AM SINGLE AND HAPPY, I CAN MANAGE MY LIFE, NAMTEGEMEA MUNGU TU SIO MWANADAMU.

Tatizo linalonikwaza ni kwamba kitendo cha mtu kuandika haya ni kuonyesha watu wengine kua hana siri juu ya mambo yake, yaani likimkuta tu lazima aropoke kwa kuweka status ya ajabu.

Huu naona kama utoto sana watu tujifunze kua na adabu ya kutunza privacy zetu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ki kawaida wadada wengi wa mekuwa wasanii sasa kila mtu anajitangazia maisha take..kutokana na Media hazimjuwi sasa anakomaaa yeye Kama yy..

    ReplyDelete
  2. Huo n upuuzi tu yani Kuna status unasoma unajua direct Kuna kitu si sahihi halafu ukimuuliza atakujibu.walaa niko poa tu! Mfyuuu...!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad