AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kanye West alisema “Kim k angekubali kuwa na mimi kabla ya Amber basi nisinge kuwa na Amber Kabisa, ni ngumu kwa mwanamke kuwa na mwanaume aliyewahi kuwa na mahusiano na Amber, nilibidi nioge mara 30 ili Kim K anikubali”.
Amber amejibu kupitia twitter yake nakusema …
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kanye anachekesha huo ugomvi angewaachia hao wanawake yeye kauingilia wa nini?
ReplyDeleteKanye Mshamba tu.
ReplyDeleteAliulizwa hilo swali kwenye interview ndiyo akajibu hivyo na huyo Amber amechukia kuambiwa kuwa kama angemdate kim Amber asingekuwepo which it is true he didn't mean to hurt her it is the way he answered the Question???
ReplyDeleteGoooooooooooooooooood
Deletekanye hajielewi, amber kumbe anajielewa
ReplyDelete