AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond a.k.a Baba Tiffah licha ya kuwa amekuwa akitoa ahadi ya kufunga ndoa na Zari bila kusema lini, amesema kuwa hakuna mpango wa Zari kuhamia Tanzania moja kwa moja kutokana na kuwa na biashara zake Uganda na Afrika Kusini.
“Kusema Zari atakaa moja kwa moja kubase Dar, Tanzania itakuwa ni ngumu lakini atakuwa muda atakaokaa kule na huku ni sawa kabisa atakuwa Tanzania, atakuwa pia South Africa, atakuwa Uganda kwasababu anabiashara zake tofauti tofauti anazozifanya.” alisema Diamond alipokuwa akijibu swali la shabiki siku ya 40 ya Tiffah, aliyeuliza kama Zari atahamia Tanzania.
Aliendelea kusema;
“Sasa ukimwambia mtu abase na biashara zake kuzihamisha sio rahisi kihivyo…na huwezi kujua kibiashara itatengeza nini, na mwanzo wa mapenzi kufanya vitu vya kumkwamisha mwenzako kimaisha haiwezi kuleta maana.”
Tiffah ni mtoto wa nne kwa Zari, watoto wake watatu wa kiume aliowapata na mume wake wa zamani Ivan wanaishi Afrika Kusini yaliko makazi ya Zari. Huenda hiyo ikawa ni sababu nyingine japokuwa Diamond hakuitaja.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Domo anajaribu kuficha ukweli, Zari hawezi kuishi tz si kwa biashara zake tuu, na watoto na ivan je?
ReplyDeleteatafanya ufuska saa ngapi akiishi bongo! amdanganye huyo dai
ReplyDeleteKWANI KAOLEWA HATA AKAE BONGO? KAONA MAMBO SIYO ALIVYOFIKIRIA
ReplyDeletetobaaaaaaaaaaaa! Katunzi nae anataka mtoto apimwe DNA.
ReplyDeleteKatunzi kashindwa kuvumilia nae katoa la moyoni, anataka DNA ya Tifaa, ijulikane kunyoa au kusuka.
ReplyDeleteAishi popote si mapenzi yao jamani
ReplyDeleteSi tatujalishi