Diamond Aibuka na Kusema Sababu iliyofanya Wimbo wa Nana Usiwe na Sauti ya Nahreel ‘Nahreel on the beat‘

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nahreel aliwahi kuzungumzia kuhusu kutosikika sign ya ‘Nahreel on the beat‘ kwenye mdundo wa ‘Nana‘… leo kapatikana Diamond Platnumz ambaye amesema copy ya wimbo wa kwanza kabla ya kufanyiwa mastering ndiyo iliyotumika kwenye video na director wa video Godfather… ilipotokea Nahreel kaifanya nyingine inayomtaja Nahreel, director wa video hakuwa tayari kupokea copy hiyo ya wimbo wa ‘Nana‘ ambayo imeongezewa kipande hicho kwa sababu isingefit kwenye dakika za wimbo ulivopangwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. usiweke hivyo vidole freemason watakuiba.

    ReplyDelete

Top Post Ad