AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahreel aliwahi kuzungumzia kuhusu kutosikika sign ya ‘Nahreel on the beat‘ kwenye mdundo wa ‘Nana‘… leo kapatikana Diamond Platnumz ambaye amesema copy ya wimbo wa kwanza kabla ya kufanyiwa mastering ndiyo iliyotumika kwenye video na director wa video Godfather… ilipotokea Nahreel kaifanya nyingine inayomtaja Nahreel, director wa video hakuwa tayari kupokea copy hiyo ya wimbo wa ‘Nana‘ ambayo imeongezewa kipande hicho kwa sababu isingefit kwenye dakika za wimbo ulivopangwa.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
usiweke hivyo vidole freemason watakuiba.
ReplyDelete