Mrembo Huddah Monroe Ajitangaza Kuwa Kwa Sasa Yeye ni Tajiri..Hanywi Tena Uji wa Chumvi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamitindo maarufu nchini Kenya, Huddah Monroe, amejitapa na utajiri alionao kwa sasa na kusema kwamba uji wa chumvi aliwahi kunywa mara moja katika kumbukumbu za maisha yake.

Mrembo huyo mwenye mbwembwe nyingi, amedai kwa sasa yeye ni tajiri tofauti na miaka ya nyuma ambayo aliwahi kunywa uji wa mahindi uliowekwa chumvi.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, mrembo huyo aliweka picha huku akionyesha vitu vyake vya thamani, ikiwemo gari lake aina ya Range Rover SUV na nyumba yake mpya.

“Katika maisha hakuna kukata tamaa, ninaamini juhudi zangu zimenifikisha hapa kwa sasa, nina vitu vingi vya thamani kwa sasa na nishasahau maisha yale ya uji wa chumvi.

“Kwa sasa siwezi tena kunywa uji wa mahindi wenye chumvi, niangalie kwa sasa nakula soseji, mikate na vitu vingine,” alieleza Huddah.

Ameandika Hivi:


Huddahthebosschick 
Posting this sausages for a short story of not giving up or losing hope in life . When I was a kid , we never had Sausages , bread or sugar . We used to see them in newspapers passing by the roadside Coz POVERTY was real! .... But look at me now ? I'm eating sausages and I don't do sugar anymore despite the fact that I never had it when I was a kid. It's funny but We used to drink maize floor porridge (UJI) with salt in it LOL! And it tasted GOOD as Fuck! I Don't know about y'alls upbringing but that's how we used to roll. I have now done sugar , bread and sausages . Things I never dreamt off. Things I never thought I'd ever have 🙄 . Now look at that picture above! That's the real definition of MAKING IT in LIFE! NEVER LOSE HOPE BOSSES. YOU DUNNO WHAT TOMORROW MIGHT BRING! Whatever you want to have in life , you will have . Gods timing 🏾 .
P.S - I dunno what the hype was about sugar though , it's not good for your health . In fact honey is cheaper than Sugar here in Kenya . Use that . A lot of people who had sugar when I was kid have sugar issues now . See life ?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad