AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahreel amesema kuwa mwaka jana ameweza kupata nafasi ya kushiriki kwenye coke studio nchini kenya ambapo alikatiwa mkwanja unaovutia pia ukitoa kazi za studio ameweza kupata deals za matangazo nyingi.
“kweli,muziki unalipa na mimi kama producer umenilipa kwa njia nyingi,kwa wasanii kunilipa studio,kwa kazi nazopata off studio.Mwaka 2015 nilihusika kwenye coke studio nililipwa hela nzuri,nilipata radio adverts za makampuni tofauti..as producer nimenufaika sana mwaka 2015 kuliko miaka mingine yote" alifunguka producer huyo ambaye pia ni msanii wa navy Kenzo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Safi kufanya kazi ndio utu kaka jitume wala usichoke
ReplyDelete