AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga na Ijumaa Wikienda, Shilole au Shishi Baby alifunguka kuwa soko la filamu Bongo, linashuka na pia wasanii wanatumia muda mwingi lakini wanapata malipo kidogo tofauti na nguvu pamoja na muda waliotumia.
“Kama mtu akinitaka kwa sasa ili nicheze filamu yake awe na milioni 20 ndiyo nifanye maana ni kitu ambacho kinachukua muda sana halafu malipo yake ni kidogo,” alisema Shilole.
Chanzo:GPL
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Unakunya keki au unagawa tako?na mario nuh alikuwa anakupa ngapi?
ReplyDeleteHakuna anaekutaka hata kwa shilingi kumi kicheche
ReplyDeleteUmemzidi lulu kwa m 5 hamna lolote unapenda kutoka magezetini au kwa huyo mini
ReplyDeleteHata yule mumeo wa igunga kashtuka. Na ndio mmezaa. Milioni ishiriniii.mfyuuu
ReplyDelete