AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
App hiyo ya simu inatarajiwa kuzinduliwa leo katika tamasha la 'Mwendokasi Festival' litakalofanyika viwanja vya Posta Kijitonyama.
App hiyo ni mara ya kwanza kuingia Afrika na inazinduliwa kwa mara ya kwanza nchini Tanzania.
Navy Kenzo watapamba jukwaani moja na wasanii mbali mbali wa Bongo kama Ali Kiba, Sauti Soul, Christian Bella, Juma Nature, Man Fongo, Nay wa Mitego, Nuh Mziwanda, Mr Blue , Isha Mashauzi, Roma, Quick Rocka, Ruck Beibe na Wengine Wengi ...Usikose kiingilio Buku kumi tu Mlangoni
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK