MREMBO Huddah Monroe Amweka Wazi Mpenzi wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huddah aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na rapper Prezzo lakini hivi karibuni amekuwa akiyaficha mahusiano yake baada ya muda mwingi akionekana akiwa mwenyewe kwenye viwanja tofauti.

Akiongea na Kiss FM, Huddah alisema, “I have a boyfriend, he’s playing soccer.” Lakini alipinga kuwa mpenzi wake huyo siyo Vicent Wanyama kwa kuwa yeye ndiye mchezaji pekee wa Kenya anayecheza ligi kuu ya Uingereza tena timu kubwa.

Tazama video hapa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad